BIG LIST OF WEBSITES

List of Top Websites on Buffer

Top 250 Websites on BUFFER

Download the Top 250 Websites to PDF

Last updated on Apr 1 2024.
Here are the best websites we found: add0n.com • ecocityhydroponics.com • buffer.com • mainiptv.com • indicatorchart.com • jamhurimedia.co.tz • dixonbuffers.com • buf.build • lobachemie.com

Press CTRL-D to bookmark this list - BigListofWebsites.com
Rank
Url
Preview
Tags
Score
Open-Source Application Development :: add0n.com. extension is a tool to combine segmented tracks in a single playable media file that can be used in any common media player. Since streaming media files takes some time until the most portion of the media is fetched by your browser, nowadays media providers usually prefer to split a single media file into segmented tracks. This way they can provide the first small segment and start the player right away without waiting for other segments to be ready. While the user is listening to this segment, the subsequent segments are being fetched and push to the player''s buffer. This is a really efficient method to listen to media tracks online however, there is a mess how to join these tracks together. The ''Audio Joiner'' extension aims to fix this problem by providing an intuitive UI for merging audio files with an optional user-defined delay.
Alexa Rank
7,940
Singapore Hydroponics Farming Store - Seeds, Plant Nutrients, Growing Media, Germination Media, Hydroponics Systems, Meters and Buffer Solutions, Plant Grow Lights, Net Pots | Eco City Hydroponics Singapore Online Store. We are One Stop Hydroponics Farming Store in Singapore. We offer Seeds, Plant Nutrients, Growing Media, Germination Media, Hydroponics Systems, Meters and Buffer Solutions, Plant Grow Lights, Net Pots
Alexa Rank
208,252
Simpler social media tools for authentic engagement | Buffer. Build your audience and grow your brand on social media.
Alexa Rank
39,899
IPTV Service Provider: No Buffer, Stable, & Fast » MainIPTV. Best IPTV Service Provider in the World: +15.000 channels / +80 countries / +40.000 VOD - 1, 3, 6, 12 months subs start from 10 €.
Alexa Rank
214,984
Best forex indicators free Download. You will get here top best forex indicators, system and forex robot for auto trading in all mt4 brokers.Here i will share best indicators system that help you
Alexa Rank
37,438
Gazeti la Jamhuri | Tunaanzia wanapoishia wengine. Wakati serikali ikiwekeza matrilioni ya fedha kupata umeme wa uhakika kutoka katika Bwawa la Nyerere lililoko Rufiji mkoani Pwani, hali ni tofauti kwenye vyanzo vya maji ya Mto Rufiji. Mto Rufiji ambao ndio chanzo kikuu cha umeme wa Stieglers (sasa Bwawa la Nyerere), hupokea maji kutoka vyanzo kadhaa ikiwa ni pamoja na Mto Kilombero uliopo Malinyi, mkoani Morogoro unaochangia karibu asilimia 70 ya maji ya Mto Rufiji. Kwa bahati mbaya shughuli za kibinadamu zinazoendelea ndani ya Bonde la Mto Kilombero kwa sasa zinahatarisha uhai wa Mto Rufiji na hata ufuaji wa umeme unaotarajiwa kuanza miaka michache ijayo endapo hatua za makusudi hazitachukuliwa. Kauli ya Rais Dk. John Magufuli ya kuwapo suluhu baina ya hifadhi mbalimbali na vijiji nchini aliyoitoa mwaka jana, inatumiwa kuhalalisha uwepo wa vijiji ndani ya bonde hilo, ingawa kiuhalisia uwepo huo hauna tija kwa Mradi wa Umeme wa Bwawa la Nyerere. Kwa upande mwingine, JAMHURI limegundua kuwapo kwa mnyukano kati ya wananchi na maofisa wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori (TAWA), hivyo kusababisha vitendo vya rushwa na uhasama miongoni mwa makundi hayo mawili. "Mipaka kati ya Pori Tengefu la Kilombero na vijiji vya Ipela Asilia na Madabadaba haifahamiki sawasawa na kusababisha uhasama huo. Askari wa TAWA hawajui katika shughuli zao za ulinzi waheshimu mpaka gani; ule wa mwaka 2012 au mpya uliowekwa mwaka 2017. "Matokeo yake wanaendesha operesheni za kulinda mipaka hiyo kimabavu wakitumia silaha za moto na kuingia vijijini wakidai wanasaka majangili wakati si kweli. Wanatumia mwanya huo kujinufaisha wenyewe, maofisa wa serikali hasa Meneja wa Bonde la Mto Kilombero, Linus Chuwa na Ofisa Tawala wa Wilaya," anasema mwananchi mmoja wa Madabadaba, Kata ya Itete Njiwa. Mwananchi huyo anasema askari wa TAWA huomba rushwa ili wasipore mali za wananchi na kuzipeleka Kituo cha Polisi Mtimbira. Malalamiko ya wananchi hao wanaoishi ndani ya Bonde la Mto Kilombero hayajashughulikiwa na kiongozi yeyote wa serikali. Tuhuma Wananchi hao wameliambia JAMHURI kuwa uonevu huo ulianza mwaka 2017 baada ya kuwekwa mipaka mipya kutenganisha Pori Tengefu la Kilombero na makazi ya watu bila kuwashirikisha wananchi wanaodai alama za mipaka mipya zipo ndani ya maeneo ya vijiji, kwenye makazi yao, na sasa wanatakiwa kuondoka. Awali, mwaka 2012, uwekwaji mipaka uliwashirikisha wananchi na kushuhudiwa na waliokuwa mawaziri, Ezekiel Maige (Maliasili na Utalii) na Therezya Huvisa (Ofisi ya Rais Muungano na Mazingira). Inaelezwa kuwa tangu awali ilikuwapo migogoro kati ya vijiji hivyo na watu binafsi waliokuwa wakihodhi maeneo hayo, wakiwatoza wakulima na wafugaji kati ya Sh 200,000 hadi Sh 300,000 kuwaruhusu kufanya shughuli za kilimo au ufugaji. Wananchi wa Ipela Asilia na Madabadaba wanahoji sababu za askari wa TAWA kutowaondoa wafugaji na wakulima waliomo katikati ya pori tengefu, badala yake huvamia makazi ya watu na kufanya unyang'anyi kwa kutumia silaha. Hata hivyo, wapo wananchi wanaoamini kuwa migogoro iliyopo ni mipango ya makusudi kuficha serikali isigundue kuwapo kwa shughuli za kilimo na ufugaji ndani ya pori tengefu ili kutoa mwanya kwa maofisa wachache wasio waaminifu kufaidika kwa rushwa. Ofisa Mtendaji wa Kata ya Itete Njiwa, Mwajabu Ramadhani, anasema alipotembelea maeneo hayo Oktoba mwaka jana alikuta mashamba ya mpunga yenye ukubwa kati ya ekari 200 hadi 300 kando ya Mto Kilombero uliomo ndani ya mipaka ya pori tengefu, kitendo ambacho ni kinyume cha sheria. Wanyang'anywa mali Akizungumza na mwandishi wetu, askari mstaafu wa JWTZ, Anastatus Itunga, amesema trekta lake ni miongoni mwa mali za wananchi wa Ipela Asilia zilizoporwa na askari wa TAWA likidaiwa kukutwa ndani ya hifadhi, kisha yeye kufunguliwa mashitaka. "Sikuwa na fedha za kuwahonga waliokuwa wakishughulikia kesi yangu. Kwa hiyo nikashindwa kesi na kunyang'anywa trekta nililonunua kwa fedha ya mkopo," anasema Itunga aliyepata shinikizo na kupooza mkono na mguu upande wa kushoto kutokana na kitendo hicho. Katika Kituo cha Polisi Mtimbira, JAMHURI limeshuhudia matrekta manane yakiwa nje ya kituo hicho, mojawapo ni lililokuwa mali ya Itunga. Mawili miongoni mwa hayo manane; New Holland na Fiat, yalikamatwa Desemba mwaka jana yakidaiwa kukutwa ndani ya mipaka ya Pori Tengefu la Kilombero ingawa wenye mali wanadai kuwa si kweli, bali; "Yalikutwa ndani ya Kitongoji cha Ikotakota." Madai hayo yanathibitishwa na Mwenyekiti wa Kitongoji hicho, Kisinza Luhende, akisema matrekta hayo yalikamatwa na askari watano wa TAWA ilhali yakiwa katikati ya kitongoji chake na kuyachukua baada ya ombi lao la kupewa fedha kukataliwa. "Usiku huo askari hao wa TAWA walipora pia mtambo wa umeme wa nguvu ya jua, simu mbili za raia na ndoo iliyojaa maandazi baada ya kufyatua risasi hewani," anasema Luhende. Mmoja wa waathirika wa tukio hilo ni Athuman Malemeza, anayesema baada ya milio ya risasi yeye na wenzake sita walitoka kwenye hema lao la muda na kuamriwa kuchana mashuka yao kisha askari wakatumia vipande vya mashuka hayo kuwafunga mikono na miguu. "Tukaamrishwa kulala kifudifudi na kuanza kuchapwa viboko wakitaka tuonyeshe trekta lililokuja kwa ajili ya shughuli za kilimo," anasema Malemeza na kuongeza kuwa baada ya kuzidiwa, akawaonyesha lilipoegeshwa trekta alilokuwa akilisimamia aina ya New Holland, mali ya baba yake. Yeye na watu wengine 14 walikamatwa na kuombwa rushwa ili wasipelekwe polisi na kuwa watu, vibarua wa kilimo cha jembe la mkono, walichangishana na kutoa Sh 30,000 kisha wakaachiwa huru; lakini yeye akatakiwa kutoa Sh 2,000,000. Baada ya kujitetea kuwa hana kiasi hicho ila Sh 200,000 tu kwenye simu yake, akaambiwa awarushie kiasi hicho na angeachiwa baada ya kutoa Sh 1,200,000 (JAMHURI lina namba na ujumbe wa muamala huo). "Nikampigia simu baba, akasema anatafuta kiasi kilichobaki. Tukiwa njiani kwenda kituoni, tukakuta trekta jingine aina ya Fiat. Mmiliki wake (anayefahamika kwa jina la Paroko Charles Simbaliyana) naye akatakiwa atoe Sh 1,200,000 liachiwe," anasema Malemeza. Wakiwa bado njiani, baba yake akatuma mtu awape askari hao Sh 400,000 ili Malemeza aachiwe akaendelee na kilimo. Akaachiwa. Kwa upande wa mmiliki wa trekta jingine, Paroko (aliyekuwa Malinyi wilayani wakati hayo yakiendelea huko Ikotakota), badala ya kutoa pesa, akaamua kutoa taarifa kwa Katibu wa Kitongoji hicho, Rashid Uhaya na kutengeneza mazingira ya kuwakamatisha rushwa askari wahusika. Wahusishwa na rushwa "Nikawasiliana na ndugu yangu anayeitwa Rashid Said, akaenda kituoni kuandaa mazingira ya kuwakamata askari wale. Nikampa Rashid ujumbe mfupi wa muamala uliotumwa kwenye simu ya askari (kutoka kwa Malemeza) na mwonekano wa askari aliyepokea zile Sh 400,000 kutoka kwa baba yake Malemeza. "Katika maelezo yao kituoni, walidai kuwa trekta hilo limekutwa ndani ya pori tengefu, lakini Rashid akamwambia Mkuu wa Kituo (OCS), John Bosco, kuwa huo ni uongo, kwamba trekta hilo wamelikuta kwenye makazi ya watu. "Akamwambia kuwa mbali na trekta hilo, lipo jingine walilikamata mapema na kuliachia baada ya kuhongwa Sh 600,000 na kumwomba OCS awapekue askari wa TAWA," anasema Paroko. Upekuzi ukafanyika na mmoja kati yao akakutwa na Sh 400,000! Paroko anasema Rashid pia alimuonyesha OCS ujumbe mfupi wa muamala uliotumwa kwa mmoja kati ya askari hao. Mbele ya OCS, kwa mujibu wa Paroko, askari hao walikiri kukamata matrekta mawili wakidai walilazimika kuliacha moja kutokana na ubovu wake. OCS akaamuru hilo nalo lipelekwe kituoni. Askari hao waliwekwa mahabusu kwa tuhuma za rushwa na baadaye kuachiwa huru, ikidaiwa ni kwa maelekezo kutoka kwa Meneja wa Bonde la Mto Kilombero, Chuwa. Hata hivyo, pamoja na ushahidi wa kutosha bado matrekta hayo yapo kituoni hadi sasa huku kukidaiwa kuwapo mipango ya kuwaokoa askari hao kutoshitakiwa kwa makosa ya rushwa na hadi tunakwenda mitamboni, bado hawajafikishwa mahakamani. Ofisa Mtendaji Kata Itete Njiwa, Mwajabu, anathibitisha kuwapo kwa malalamiko ya wananchi kuvamiwa na kupigwa na askari wa TAWA kwenye maeneo kadhaa, akisema kwamba ni katika utekelezaji wa sheria ya kulinda pori tengefu. "Mpaka wa mwaka 2017 ndio unaotambulika kisheria. Wananchi wanapaswa kuuheshimu na kuondoka maeneo hayo. Shughuli za kilimo zimekatazwa na hakuna kujenga wala kufanya maendeleo kwenye maeneo hayo," anasema Mwajabu. Lawama dhidi ya askari wa TAWA zilitolewa pia na Diwani wa Itete Njiwa, Kassim Ndonde, anayesema kazi ya TAWA ni kuzuia uhalifu si kupora wananchi. Ndonde anafahamu kuwa mpaka wa mwaka 2012 uliokuwa eneo la Mkuza haukuwa halali, ila mpaka mpya wa mwaka 2017 ndio halali, ingawa kuwekwa kwake hakukuwashirikisha wananchi. Inadaiwa kuwa migogoro hiyo ilisababisha kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Ipela Asilia, Seresi Likondemi, aliyeuawa mwaka 2017 baada ya kuvamiwa nyumbani kwake na watu wasiojulikana. Viongozi wanasemaje? Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Malinyi, Zeno Mbelembo, anasema mgogoro huo upo tangu Serikali ya Awamu ya Nne. "Tatizo ni mpaka mpya ambao kuwekwa kwake hakukushirikisha wananchi. Alipokuja hapa Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamis Kigwangalla, alikagua na kuona mipaka yote miwili na kuhoji tatizo liko wapi? "Tukamwambia kuwa jiwe la mpaka wa awali lilikuwa umbali wa kilometa nane lakini sasa limesogezwa kijijini kwa kilometa tano nzima," anasema Mbelembo. Anasema Dk. Kigwangalla aliahidi kutatua suala hilo lakini hadi sasa hakuna kilichofanyika. Meneja wa Bonde la Mto Kilombero, Chuwa, ameliambia JAMHURI kuwa mapitio na uwekaji wa mipaka yalifanyika kwa maridhiano kati ya hifadhi na vijiji vinavyopakana na pori tengefu. "Kazi ilianza Januari 27, 2017 katika Kijiji cha Igawa ikiwa ni utekelezaji wa Sheria ya Wanyamapori Na. 5 ya mwaka 2009. Hili lisipotoshwe kuwa wananchi hawakushirikishwa. Mapitio hayo yaliwajumuisha viongozi mbalimbali wa mkoa, wilaya, Wizara ya Maliasili na Utalii, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na viongozi wa vijiji vyote," anasema Chuwa. JAMHURI limeelezwa kuwa vikao vya kutathmini mipaka vilijumuisha wananchi 15 kutoka kila kijiji kutokana na unyeti wa eneo la Bonde la Mto Kilombero. Baada ya JAMHURI kuondoka Malinyi wiki mbili zilizopita, Chuwa ameondolewa kituoni hapo na haijafahamika aliko hamishiwa. Katibu Tawala wa Wilaya ya Malinyi, Lameck Lusesa, anayetuhumiwa kuhusika au kuwalinda maofisa wa serikali wanaonyanyasa wananchi huku wakijinufaisha kwa rushwa, anakana tuhuma hizo akisema hana taarifa. "Iweje wewe upate taarifa huko Dar es Salaam mimi nisiwe nazo hapa Malinyi? Hizo ni taarifa za uongo," anasema Lusesa na kuongeza: "Taarifa ya kukamatwa kwa matrekta yakiwa mbugani ninayo na hadi tunavyozungumza, vielelezo viko tayari na tutaanza kuwachukulia hatua wahusika muda wowote." Anasema suala la uhifadhi wa bonde hilo si la mchezo, kwa sababu ndilo eneo pekee linalochangia asilimia 65 ya maji yanayotiririka Mto Rufiji kunakojengwa mradi mkubwa wa kufua umeme wa Julius Nyerere. "Bonde hili lina mito 28 na vijito kadhaa, lakini kutokana na uharibifu wa mazingira tumebaki na mito 14 tu inayotiririsha maji kwa mwaka mzima. Ni wajibu wetu kulilinda kwa nguvu zote bonde hili," anasema Lusesa. JAMHURI linafahamu kuwa tayari taarifa za maafande wale wa TAWA zipo mezani kwa Kamanda wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Morogoro, Janeth Machulya. "Sisi tumeshafanyia kazi kipengele cha rushwa, kazi iliyobaki ni mamlaka nyingine kuchukua hatua zaidi," Janeth amemwambia mwandishi wa gazeti hili. Mkuu wa Wilaya ya Malinyi, Mathayo Masele, anasema wilayani humo kuna wakulima 156,000 wanaotakiwa kudhibitiwa kulinda pori tengefu na kuokoa mazingira ya Mto Kilombero. "Nilishakataza wasilime maeneo hayo. Niliwaambia kuwa eneo hilo ni 'buffer zone' na linalodhibitiwa na TAWA. Wasifanye shughuli za kiuchumi katika maeneo hayo," anasema Masele. Masele anashauri ukulima unaotakiwa kufanyika kulinda mazingira ni ule wa kisasa unaofuata ushauri wa kitaalamu. "Bonde lisingekuwapo na wananchi wasingekuwapo na namna ya kuhakikisha bonde linabaki salama ni kuwaondoa wananchi wote walioko kwenye mipaka ya hifadhi. "Maji ya bonde hili ndiyo yatakayotumika kwenye Mradi wa Umeme wa Nyerere, hatuwezi kukubali umeme wa bei rahisi ushindwe kupatikana kwa sababu wananchi wanachezea hifadhi. "Mpaka sasa serikali haijaleta maelekezo mengine, yatakapotoka kwetu ni sheria. Hivyo, ninawataka wananchi kutoingia kwenye hifadhi. Mimi siwatumi TAWA wakaue watu! Mtu akiingia kwenye hifadhi ambayo tunaihitaji sana, mpige ngwala! Ndiyo. Kwa sababu amevamia hifadhi," anasema Masele. Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa TAWA anayehusika na Uhusiano wa Umma, Twaha Twalibu, anasema mamlaka hiyo itajenga vigingi 650 kwenye mpaka wa mwaka 2017 kuzunguka mzingo wote wa pori tengefu ili kuondoa mkanganyiko uliopo. Twaha anasema vigingi hivyo vitatenganishwa kwa mita 500 katika kilometa 325.69 za mpaka huo tofauti na mpango wa awali wa kuvitenganisha kwa kilometa moja. Katibu wa Waziri wa Maliasili na Utalii, Aristides Mkembela, amewashauri wananchi wa vijiji hivyo kuandika barua rasmi kwa waziri kumkumbusha ahadi ya kuunda kamati ya kuchunguza mgogoro wa mipaka hiyo. Usuli Bonde oevu la Kilombero lenye ukubwa wa kilomita za mraba 7,967 lilianzishwa mwaka 2002 likiwa miongoni mwa maeneo oevu nchini chini ya Mkataba wa Kimataifa wa Ramsar. Lipo katika wilaya za Malinyi, Kilombero na Ulanga mkoani Morogoro. Ndani yake kuna Pori Tengefu la Kilombero lililotangazwa katika Gazeti la Serikali mwaka 1952 kwa Sheria ya 'Flora and Fauna Ordinance' na baadaye kupewa GN namba 269 ya mwaka 1974 chini ya Sheria ya Wanyamapori Na. 12 ya 1974. Wakati huo lilikuwa na ukubwa wa kilometa za mraba 6,500 ambazo kwa sasa zinakadiriwa kubaki kilomita za mraba 2,200 tu baada ya kumegwa na kuanzishwa vijiji na shughuli mbalimbali za kibinadamu.
Alexa Rank
115,440
Dixon Buffers - Nothing but the best. Premium Nails Buffers & More!Dixon Enterprises prides itself on carrying only the best quality buffer available. Dixon buffers will not crack, break or fall apart…GUARANTEED!
Alexa Rank
144,380
Buf - A Better Way to Work with Protocol Buffers. Create, maintain and consume Protobuf Buffer APIs with our modern Protocol Buffers ecosystem
Alexa Rank
180,795
Laboratory Chemicals, Lab Chemicals, Analytical Reagents, Laboratory Reagents, Lab Reagents, and Fine Chemicals from Loba Chemie Pvt. Ltd., Mumbai, India. Loba Chemie is a manufacturer of Laboratory Reagents and Fine Chemicals for industrial use. Our Product range includes Analytical Reagents like HPLC Buffer Salts, GC Solvents, AAS Standard Solutions, Biological Dyes and Stains for Microscopy, High Purity Acids, Karl Fischer Reagent and many more. We also offer a wide range of Reagents for Sciences like Nucleosides, Nucleotides, Amino Acids and Derivatives.
Alexa Rank
454,416
A practical programming tutorials on C++, C language, Windows and Linux network, MFC user interface GUI, Standard Template Library (STL), compilers, Win32, device drivers, secure coding and object oriented with code and program examples. These tutorials cover a wide range of C and C++ programming for both opensource and commercial. The topics include C and C++ basic to advanced programming, C and C++ secure coding, Windows forms, MFC GUI, Linux and Windows network programming and C++ object oriented. Complete with working code and program examples, detailed step-by-steps with screenshots
Alexa Rank
104,620
index-of.es/. z0ro Repository - Powered by z0ro
Alexa Rank
62,713
A curated directory of resources and tools for non-techs. Curated directory of the best free resources, tools and discounts for non-technical entrepreneurs. Learn to build anything without code!
Alexa Rank
139,497
Kanha Tiger Reserve
Alexa Rank
169,598
News, Sports, Business, Opinion | Kitsap Sun. News, sports, business, opinion and information across the Kitsap Peninsula brought to you by the Kitsap Sun.
Alexa Rank
189,663
royleekiat | Rookie Tech Blog. Rookie Tech Blog
Alexa Rank
229,598
Home | Galaxy Net
Alexa Rank
250,455
Ned Otter Blog | SQL Server DBA and Musician. SQL Server, Always Encrypted
Alexa Rank
523,006
Forex MT4 Indicators | Forex indicators Download | Forex Trading Strategies. Mt4 indicators & Forex Strategies Download South Africa Free for your trading Guide with Trend. MT4 & MT5 Brokers user mostly use these type indicator for
Alexa Rank
114,454
Best Free MT4 & MT5 Indicators, EAs,Forex system & Strategies. Best Forex indicator give you all trading plan for any trad plan in all market session like Euro or New York with proper time. Non repaint indicators also guide
Alexa Rank
141,525
Social media scheduler and advanced analytics - Woop. Woop is a social media management tool to schedule, track advanced analytics and interact with your audience in real time.
Alexa Rank
214,716
Paylaş Dur | Sosyal Medya Yönetim Sistemi. Sosyal Medya Araçları Social Media Tools PaylasDur.com
Alexa Rank
256,612
Sosyal Medyanın Kalbi - İntifada1453. İntifada1453.Com İnternetin Derinliklerine
Alexa Rank
271,576
Best Forex Indicator MT4. Best forex indicator For M4 & Trading Strategies with complete system in india you will get here free for Buy or sell Metatrader 4 chart Frame signals
Alexa Rank
281,793
Home. The corporate EHS function, which oversees environmental, health and safety compliance began to merge at the management level around 1990. The first area is environmental management, which emerged as a profession in the 1970s, following the creation of the U.S. Environmental Protection Agency (EPA) and other state-level regulatory systems. As companies began limiting waste to prevent pollution, they needed engineers to adapt scrubbers, filters, and other process changes to existing manufacturing systems. Workplace safety and occupational health also grew in importance during this time, with the passage of legislation such as the Occupational Safety and Health Act of 1970. Over time, companies developed systematic way of complying with environmental, health and safety regulations. Corporations began tracking key measures and looking for ways to improve their performance. Then, in the 1990s, improvements in data technology management made it easier for an organization to analyze its operations. Around that time, corporations began to merge oversight for environmental, health and safety programs through a new management role called EHS. The newly appointed leaders, who began their careers in one of the three sub-disciplines, started to create systems to drive EHS progress across all operations. Today, with the advent of sustainability, EHS professionals are leading corporate efforts toward sustainability. Building on their decades of experience, EHS leaders are striving to meet this challenge, creating systems to reduce energy use, conserve water, and better communicate with stakeholders. Indeed, a 2009 survey found that two-thirds of the sustainability initiatives at member companies are being led or managed by the EHS
Alexa Rank
290,690
Forex MT4 Indicator | Forex Trading Strategies | Forex Indicator Download |. Forex MT4 indicator & Strategies give you more Idea about trading in Metatrader 4 Brokers Chart for Buy or Sell Entery Point. Every Beginners Want to Download MT4 % MT5 indicators.
Alexa Rank
314,414
agelektrometal.com | Lcd Televizyon Yedek Parçaları. agelektrometal.com LCD Televizyon Yedek Parçalarını Güncel Stoklar ile Bulacağınız Adres
Alexa Rank
328,573
TV Ao Vivo | Assistir TV Online Gratis - Aovivo.gratis - Aovivo.club. Aqui você pode assistir tv online gratis e tv ao vivo. Assista Globo ao vivo, SBT ao vivo, Record ao vivo, Sportv ao vivo, Band ao vivo e outros no Aovivo.gratis
Alexa Rank
342,764
TvParçaları Burada ! - Her Marka LED - LCD - Tv Parçaları. Led tv, Lcd tv, Yedek Parça. Tv Yedek Parçaları, Tv Kartları, T-Con Kartlar gibi her marka tv parçalarını temin edebilirsiniz. Tvparcalariburada.com !
Alexa Rank
364,522
TV PARCASİ| En İyi Türkiye''nin En Büyük Tv Malzeme & Parça Merkezi. En iyi, En Hızlı Lcd Tv, Led Tv, Plazma Tv Yedek Parçalarını Stoktan, Hızlı Aynı Gün Kargo İle Tedarik Edebileceğiniz Online Satış Sitesi,
Alexa Rank
393,181
. The easiest and most economical management system all over the world! Schedule and Publish on all social media platforms at the same time, get more customers and evaluate your engagement rates by artificial intelligence technology.
Alexa Rank
414,989
Trobos Livestock.com, Media Agribisnis Peternakan. Media Agribisnis Peternakan & Kesehatan Hewan
Alexa Rank
428,723
SQL Conjuror - SQL Server, MariaDB, MySQL, Oracle, Vertica. SQL Server, MariaDB, MySQL, Oracle, Vertica
Alexa Rank
486,442
Wholesale Nail Art Products For All Categories | BORNPRETTYSTORE. We offer wholesale professional Salon nail art products for all Categories, with 10 years brand BORN PRETTY, BORN PRETTY Pro, NICOLE DIARY, UR SUGAR, Harunouta. We insist on competitive price, good service, safe payment, fast logistics, free shipping worldwide.
Alexa Rank
539,314
index-of.co.uk/. z0ro Repository - Powered by z0ro
Alexa Rank
540,891